Kocha wa Mbeya City ajiuzulu

Kocha wa Mbeya City Juma Mwambusi amejiuzulu kuifundisha timu hiyo kutokana na mwenendo usioridhisha msimu huu.  Mwambusi  aliwasilisha barua ya kujiuzulu Nov. 26, 2019 na leo bodi ya timu hiyo imeridhia ombi hilo. Kwa sasa timu imekabidhiwa kwa Kocha Msaidizi Mohamed Kijuso.

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post