Wanachuo wa chuo cha Grossal Institute Training College.wafanya ziara ya kujifunza kwa vitendo katika Mto Liganga

    Ikiwa nikawaida katika chuo cha Grossal Institute Training College [GITC MAKAMBAKO ]. Kufanya ziara za kujifunza kimasomo hasa kwa wanafunzi wanaosomea Kozi ya Utalii leo tarehe 14.01.2021 Wanafunzi wa chuo hicho wamefanya ziara ya kwenda kujifunza kwa vitendo ,mimea pamoja na Ndege katika Mto Liganga.

                                


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post